• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mazingira na Maji taka
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Investment profile
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Watumishi
    • Ujasiliamali
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu mbalimbali
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
      • Fomu ya maadili
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbalimbali
    • Social economic profile
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

Huduma ya Kilimo

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, sekta ya kilimo imekuwa ndio msingi mkubwa wa kukuza kipato na chakula kwa familia na jamii kwa ujumla zaidi ya kaya 6118 zenye wakulima 11270 wanaojishughulisha na kilimo kwenye eneo la hekta 6000.


MAZAO YANAYOLIMWA

Mazao yanayolImwa ni mpunga, hekta 250.Mhogo hekta 20. Mboga na matunda 5730.Hivyo asilimia kubwa ya chakula katika maeneo ya mjini kinaingizwa kutoka nje ya mkoa.

Uzalishaji wa mboga unachangia zaidi ya asilimia 75 ya mboga zote zinazoliwa katika halmashauri yetu.

Huduma za ugani zinafanyika kwa kutoa ushauri kwa wakulima, mashine za kusaga, masoko na maghala ya chakula.


MAJUKUMU YA IDARA YA KILIMO

  • Kushauri na kusimamia kazi zote za kilimo na umwagiliaji katika manispaa ya Temeke.
  • Kushirikiana na wadau wa kilimo, umwagiliaji katika kutekeleza malengo ya Idara.
  • Kutekeleza maagizo yote ya kilimo kama yalivyoainishwa kwenye ilani ya uchaguzi na dira ya Taifa.
  • Kutekeleza maagizo yote kama yatakavyoagizwa na viongozi.
  • Kuongeza uwezo wa uzalishaji wa mazao ya kilimo.
  • Kuboresha mfumo wa upatikanaji wa masoko ya mazao ya kilimo na usindikaji wa mazao hayo.
  • Kuboresha miundombinu ya umwagiliaji na upatikanaji wa huduma za ugani na pembejeo.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA TEMEKE 2021 January 08, 2021
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA MASOMO 2021 December 15, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA TEMEKE MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 16, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI TEMEKE AKABIDHIWA MAGARI NANE (8) YA KUZOLEA TAKA.

    March 03, 2021
  • MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

    February 14, 2021
  • DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

    February 12, 2021
  • DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

TEMEKE YA VIWANGO
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE - 2019
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke