• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mazingira na Maji taka
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Investment profile
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Watumishi
    • Ujasiliamali
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu mbalimbali
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
      • Fomu ya maadili
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbalimbali
    • Social economic profile
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

Posted on: February 12th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe Godwin Gondwe ametoa siku 14 kwa Mzabuni wa vifaa tiba Bahari Phamacy kuhakikisha vifaa hivyo vinapatikana ndani ya siku kumi na nne kuanzia leo.

Sambamba na hilo amemtaka mzabuni wa samani katika Hospitali hiyo ambaye ni "Jaffery Industries" hadi kufikia tarehe 16/03/2021 awe ameweka Samani zote kwa mujibu wa mkataba katika kituo hicho cha Afya.

Ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya Kituo hicho cha Afya cha kisasa, mradi unaotekelezwa na Mradi wa uboreshaji wa jiji la Dar es salaam(DMDP).

Akiwa katika kituo hicho cha Afya alipata wasaa wa kukikagua na kupata taarifa ya gharama ya ujenzi wa kituo hicho ambapo hadi kukamilika kwake itagharimu Bilioni 4.4 ambapo bilioni 2.2 ni ujenzi wa jengo na 2.2 vifaa tiba na samani,kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mganga Mkuu wa Manispaa Dkt Gwamaka Mwabulambo.

"Wananchi wa Buza wanataka kuona kituo cha Afya kinafanya kazi hivyo lazima kazi zifanyike kwa kuzingatia mkataba na kazi zikamilike kwa wakati" Alisema Mhe Gondwe.

Ifahamike kuwa Kata ya Buza pekee ina miradi yenye thamani zaidi ya bilioni 18 ambayo inatekelezwa na DMDP ambayo ni Kituo cha Afya pamoja na miradi mingine ya barabara.

Aidha katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya aliambatana  na kamati ya Ulinzi na Usalama, Katibu Tawala wa Wilaya pamoja na wataalamu kutoka Manispaa.

Mhe. Mkuu wa Wilaya  ameonyesha kuridhishwa na ujenzi wa jengo la kituo cha afya Buza na kumpongeza Mkurugenzi wa Manispaa pamoja na Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo.

Baadhi ya matukio katika picha yakionyesha Mhe .Mkuu wa wilaya wakati wa ukaguzi wa kituo cha afya Buza Temeke Jijini Dar es Salaam.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA TEMEKE 2021 January 08, 2021
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA MASOMO 2021 December 15, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA TEMEKE MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 16, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI TEMEKE AKABIDHIWA MAGARI NANE (8) YA KUZOLEA TAKA.

    March 03, 2021
  • MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

    February 14, 2021
  • DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

    February 12, 2021
  • DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

TEMEKE YA VIWANGO
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE - 2019
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke