• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Kazi
      • Mazingira na Maji taka
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • HUduma ya Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi / Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Jukwaa la wanawake

Posted on: December 13th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh; Felix Lyaniva azindua jukwaa la wanawake kiwilaya katika viwanja vya Mwembe Yanga. Katika uzinduzi huo DC Lyaniva asisitiza wanawake kupendana, kuwa na umoja ili kujiletea maendeleo ya kweli,hata kufikia uchumi wa kati.

Katika uzinduzi huo ulifanyika uchaguzi wa mwenyekiti wa jukwaa la wanawake Kiwilaya ambapo Johari Maulid Mkonde alichaguliwa rasmi.

Jukwaa la wanawake liliundwa ili kuwawezesha wanawake kiuchumi na kuondoa pengo kubwa ambalo limejengeka duniani na kuongeza ushiriki wa wanawake katika uchumi duniani kote.

Kauli mbiu katika uzinduzi huu nI ''Mwanamke Tumia Fursa Kushiriki Uchumi wa Viwanda''  

Matangazo

  • Ajira Mpya November 06, 2017
  • kuitwa kwenye usaili December 08, 2017
  • Tahadhari ya Maafa. February 14, 2018
  • Tahadhari homa ya Dengu. March 21, 2018
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Magazeti ya Leo Alhamisi 26/04/2018

    April 26, 2018
  • HAPPY MUUNGANO 2018

    April 25, 2018
  • Magazeti ya Leo Jumatano 25/04/2018

    April 25, 2018
  • Magazeti ya Leo Jumanne 24/04/2018

    April 24, 2018
  • Angalia zote

Video

Mkuu wa Wilaya Temeke ahimiza Wakandarasi kufanya kazi kwa wakati
Jongefu za zaidi

Kurasa za Karibu

  • Leseni za Biashara
  • Uhamisho

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Halmashauri ya Manispaa ya Ilala
  • Tovuti ya Mkoa wa Dar es

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi: +255 755 415 152

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke