• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

Mipango Miji

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imedhamiria ktekeleza majukumu yake kwa kuweka kipaumbele idara ya Mipango Miji.

Idara ya Mipango Miji imegawanyika katika vitengo vinne, ambavyo ni:

  1. Mipango Miji
  2. Uthamini
  3. Upimaji Ramani
  4. Ardhi na
  5. Maliasili.

Yafuatayo ni majukumu ya kila kitengo:-

MAJUKUMU  YA KITENGO CHA MIPANGO MIJI

  1. Kuandaa michoro ya Mipango miji.
  2. Kufanya marekebisho ya michoro ya Mipango miji.
  3. Kupitia vibali vya ujenzi.
  4. Kusimamia uendelezaji wa ardhi kwa mujibu wa Sheria za ardhi.
  5. Kutoa elimu na ushauri kwa wananchi juu ya masuala ya Mipango miji.

MAJUKUMU YA UTHAMINI

  1. Kukadiria kodi ya pango la ardhi kwaajili ya viwanja.
  2. Kukadiria thamani kwa ajili ya kodi ya majengo(mass valuation).
  3. Kukadiria thamani kwa ajili ya uhamisho wa miliki za viwanja.
  4. Kukadiria thamani kwa ajili ya mikopo ya benki.
  5. Ukadiriaji wa thamani kwa ajili ya fidia.

MAJUKUMU YA UPIMAJI NA RAMANI

  1. Kupima viwanja vya matumizi mbalimbali na mashamba.
  2. kupima mipaka ya mitaa.
  3. Kufanya upimaji kwaajili ya ramani ya kihandisi(Topographical surveys,Base maps etc).
  4. kuchora ramani za hati (Deedplan).
  5. kusambaza lama za msingi (Control Extension).
  6. kushirikiana na wathamini katika utambuzi wa mipaka ya ardhi (Land adjudication).

MAJUKUMU YA ARDHI

  1. Kuandaa barua za toleo (Allocation letter)
  2. Kuandaa hati miliki za viwanja.
  3. Kuandaa lesini za makazi.
  4. Kukagua maeneo kabla ya kutoa miliki.
  5. Kusikiliza malalamiko yanayohusu masuala ya milki za ardhi.
  6. Kutoa vibali vya mauziano ya milki za ardhi.
  7. Makusanyo ya kodi.

MAJUKUMU YA MALIASILI

  1. Kusimamia sheria za hifadhi ya maliasili (Misitu na Nyuki).
  2. Kuhamasisha kuunda vikundi vya hifadhi ya maliasili.
  3. Kufanya dori dhidi ya uharibifu wa mazingira.
  4. Kuhifadhi misitu ya asili.
  5. Kupanda miti na maua na kuitunza.

Matangazo

  • TANGAZO: KUFUNGA VITUO VYA DAYCARE January 29, 2023
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA January 06, 2023
  • TANGAZO: KUWASILISHA HESABU (TURNOVER) February 13, 2023
  • TANGAZO: KUWASILISHA HESABU (TURNOVER) February 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KILIO CHA KIVUKO KATA YA MIANZINI CHAFIKA MWISH0

    March 25, 2023
  • "TUTAPAMBANA NA KIPINDUPINDU KWA USAFI" MHE. AMOS MAKALLA

    March 25, 2023
  • MTAKUWWA TEMEKE YADHAMIRIA KUDHIBITI VITENDO VYA UKATILI KWA WATOTO

    March 24, 2023
  • WANAHABARI WANA JUKUMU LA KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA KIFUA KIKUU-MHE. UZAHILU

    March 24, 2023
  • Angalia zote

Video

RC MAKALLA AONGOZA ZOEZI LA USAFI MBAGALA
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke