• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

DAR ES SALAAM NA PWANI WAPATIWA MAFUNZO YA UCHAGUZI

Posted on: July 29th, 2020

Kufuatia uchaguzi unaotarajiwa kufanyika tarehe 28/10/2020 wa kuchagua Madiwani, Wabunge na  Rais , Tume ya Taifa ya Uchaguzi imefungua rasmi mafunzo ya siku tatu (3) kwa wasimamizi ya Uchaguzi kwa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, mafunzo ambayo yamefanyika katika ukumbi wa Chuo cha Taifa cha Utalii Jijini Dar es Salaam.

Badhi ya washiriki wa mafunzo wakila kiapo wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo katika ukumbi wa chuo cha Taifa cha utalii Jijini Dar es Salaam

Akifungua mafunzo hayo kamishina wa Tume ya Uchaguzi Bi Asina Omary amesema mafunzo hayo yamelenga hasa  kuelekezana, kujadili, na kubadilishana uzoefu wa namna bora ya kufanikisha shughuli hiyo kubwa ya kitaifa kwa kufuata sheria,kanuni,na taratibu za uchaguzi kwa kuwa ni takwa la kikatiba.

Aidha kamishina wa Tume ya Uchaguzi amewataka washiriki wote wa mafunzo kuhakikisha wanakuwa wasikivu waepuke kufanya kazi kwa mazoea, kikubwa zaidi wazingatie maadili ya uchaguzi, sheria,kanuni na taratika za kikatiba zinaongoza uchaguzi mkuu.

Ni muhimu pia kwa kila msimamizi wa uchaguzi kutambua maeneo yake ya kufanyia kazi ikiwemo miundombinu ya kufika katika kata na vituo vya kufanyia uchaguzi sambamba na maeneo ya kufanyia mafunzo ya uchaguzi.

Lakini pia ametoa rai kwa waratibu na wasimamizi wa uchaguzi kuhakikisha yafuatayo hayatokei katika kipindi cha zoezi hilo la uchaguzi kama vile kuweka meza,viti nk katika kituo cha uchaguzi siku ya uchaguzi asubuhi, kuchelewa kufungua vituo vya uchaguzi ikimaanisha kufungua kituo muda tofauti na uliowekwa na Tume.

Lakini pia kuhakikisha katika kila kituo watendaji wanavifaa vyote vinavyohitajika katika shughuli nzima ya uchaguzi, aidha watendaji watakaoshughulika na kazi hiyo wawe ni watu wenye weledi,kujiamini na uwajibikaji ili kuwezesha zoezi hilo kufanyika kwa mafanikio makubwa.

Aidha mafunzo ya watendaji katika vituo vya uchaguzi yafanyike kwa ufanisi mkubwa ukizingatia wao ndio watakaotekeleza zoezi hilo na kuwezesha kufanikisha kwa uchaguzi pasipo malalamiko sambamba na kufuata utaratibu wa kuweka mawakala wa vyama vya siasa .

Mwisho  kamishina wa uchaguzi amehimiza umuhimu wa kuwa na maghala yenye ulinzi wa kutosha tayari kwa kupokea vifaa vya uchaguzi, na kwa kila mtendaji katika zoezi hilo anapaswa kujiamini,kujitambua na kuzingatia misingi ya kikatiba,sheria, na taratibu za uchaguzi mkuu.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • LIPA USHURU WA HUDUMA ZA HALMASHAURI June 21, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA VITUO VYA KUKUSANYAJI MAPATO WASHIRIKI HAFLA YA PAMOJA

    June 21, 2025
  • MANISPAA YA TEMEKE YAPASUA ANGA KIMATAIFA, SASA NI MARAFIKI NA JIJI LA YONGKANG-CHINA

    June 20, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TEMEKE LAACHA ALAMA,LAIDHINISHA MIRADI LUKUKI KUTEKELEZWA 2025/2026

    June 20, 2025
  • NAPA YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA KATA NA MITAA UTEKELEZAJI WA ANWANI ZA MAKAZI

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke