• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

DC Gondwe akabidhiwa kijiti cha kuongoza Wilaya ya Temeke

Posted on: July 9th, 2020

MHE.GODWIN GONDWE AKABIDHIWA RASMI KIJITI CHA KUONGOZA WILAYA YA TEMEKE NA MTANGULIZI WAKE

Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Temeke Mhe Felix Lyaniva amemkabidhi rasmi Mhe.Godwin Gondwe kijiti cha kuongoza Wilaya ya Temeke.

Tukio hilo limefanyika leo katika ukumbi wa Iddy Nyundo ulioko makao makuu ya Manispaa ya Temeke Jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na kamati ya ulinzi na usalama pamoja na watumishi wa Manispaa hiyo.

Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe Felix Lyaniva wa kwanza (kulia) akimkabidhi nyaraka muhimu DC mpya Mhe Godwin Gondwe katika ukumbi wa Iddy Nyundo.


Mhe Godwin Gondwe anachukua nafasi ya Felix Lyaniva ambaye kwa sasa amestaafu kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa Umma.

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mhe Gondwe amehaidi kuendeleza yale yote ambayo mtangulizi wake aliyasimamia kwa weledi mfano ukusanyaji wa mapato na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya mendeleo katika wilaya ya Temeke.

Mkuu wa wilaya mpya wa Temeke Mhe Godwin Gondwe akiongea na watumishi mara baada ya kukabidhiwa ofisi rasmi.


Pia amesema anatambua kuwa ili maendeleo yaweze kupatikana ni lazima pawepo na mahusiano mazuri baina ya viongozi wakuu kwa maana ya ofisi ya mkuu wa wilaya na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa bila kusahau watumishi kwa ujumla hivyo haina budi kwake kusimamia hilo ili Temeke isonge mbele zaidi.

Kwa upande wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Mhe Felix Lyaniva amemkabidhi nyaraka muhimu Mhe Gondwe ikiwemo kitabu cha utekelezaji wa Ilani, kitabu cha namna Wilaya ilivyotekeleza utoaji wa mikopo ya 10% kwa mafanikio makubwa na akamuhaidi kuendelea kumpa ushirikiano wakati wowote utakapo hitajika.

Aidha kwa niaba ya watumishi wote wa Manispaa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Ndg Lusubilo Mwakabibi amemhakikishia mkuu huyo mpya Mhe Godwin Gondwe kuwa watumishi wa Manispaa wako tayari kuchapa kazi na kumpatia ushirikiano wa hali ya juu kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya Wanatemeke na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke