• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

DC MATINYI AWATAKA KUTOTUPA TAKA KWENYE MIFEREJI

Posted on: September 11th, 2023

Na:Joanita Joseph


Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mhe. Mobhare Matinyi, amewataka wananchi kuweka juhudi katika usafi na utunzaji wa mazingira ili kuokoa fedha nyingi zinazotumika kurekebisha miundombinu iliyoharibiwa na uchafu badala ya fedha kupelekwa kwenye miradi mingine ya maendeleo.


Mhe. Matinyi ameyasema hayo leo Septemba 11, 2023, wakati akizindua Wiki ya Usafi kuelekea kilele cha Siku ya Usafi Duniani itakayoadhimishwa September 16, 2023.


Mhe. Matinyi amesema kuwa serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi kwa ajili ya usafishaji wa miundombinu iliyochafuliwa na wananchi kwa makusudi wakati fedha hizo zingekwenda kusaidia sehemu nyingine muhimu kama afya, elimu na kadhalika.


"Mfano mmoja ni mfereji mkubwa wa Serengeti unaopita katika kata ya Keko, uliojengwa kwa Tshs bilioni 18 bila kujumlisha fedha za kuwafidia watu waliobomolewa maeneo yao; Manispaa imetumia milioni 15 kuuzibua na kuusafisha wakati fedha hizo zingeweza kununulia mahitaji hospitalini badala yake tunalipia kijiko kiingie kutoa takataka nje; hii inasikitisha sana," alisema.


Hali kadhalika ametoa wito kwa wananchi kuhakikisha wanapendezesha madhari ya Temeke ikiwemo wajasiriamali kuondoka barabarani na kwenda kwenye maeneo rasmi yaliyopangwa kufanya biashara zao.


Uzinduzi huo umefanyika katika kata ya Kurasini kwenye eneo la Mama na Baba Lishe TRH na kushuhudiwa na Katibu Tawala wa Wilaya Nicodemus Tambo, Mstahiki Meya Abdallah Mtinika, Naibu Meya Arnold Peter ambaye pia ndiye Diwani wa Kata ya Kurasini, Mkurugenzi wa Manispaa, Elihuruma Mabelya pamoja na wakuu wa vitengo na idara wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke.


Aidha, wadau mbalimbali wa usafi na kampuni na taasisi kadhaa nao waliungana na wananchi kufanya usafi na baadaye kupata stahafutahi kutoka kwa Mama na Baba Lishe hao waliohimizwa kujali usafi.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke