• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

"HUDUMA ZIMEONGEZEKA KWENYE HOSPITALI ZETU KUTOKANA NA ONGEZEKO LA VIFAA TIBA" MGANGA MKUU TEMEKE

Posted on: October 22nd, 2022

Na: Sweetbetter NjigeTMC Habari

Leo Oktoba 22,2022 mganga mkuu wa manispaa ya Temeke Daktari Irene Haule ameendesha kikao cha tathmini cha robo ya kwanza cha Idara ya Afya.

Kikao hicho kimelenga kuangazia namna Vituo vya Afya vilivyofanikiwa katika utoaji wa huduma kwa kipindi cha Julai mpaka Septemba 2022.

Kimehusisha Waganga Wafawidhi wa Vituo vya Afya, Wahasibu, Makatibu,Maafisa Wagavi pamoja na Timu ya Uendeshaji Huduma za Afya Halmashauri ya Manispaa ya Temeke (CHMT) na Wahudumu wengine wa Afya, ambapo Daktari Irene alisema,

"Kikao hiki kinalenga kuangalia hali ya utekelezaji wa utoaji wa huduma na yote yaliyofanyika katika vituo vyetu vya Afya katika kipindi cha Julai-Septemba, nia ya kufanya hivi ni kuona wapi tumepiga hatua,wapi tumeteleza na nini tufanye ili kutekeleza mipango na majukumu yetu ipasavyo katika robo ya pili na robo nyingine zinazofuata"

Akizungumzia changamoto na mafanikio yaliyopatikana katika robo ya kwanza Daktari Irene alisema,

"Tumepata mafanikio makubwa katika robo ya kwanza, huduma zimeongezeka kwenye hospitali zetu kutokana na ongezeko la vifaa tiba kama Ultra sound katika kituo cha Yombo Vituka, lakini pia tumepata changamoto chache ambazo zinaendelea kutupa hamasa ya kupanga mikakati ya kukabiliana nazo, na kuona ni kwa namna gani tunaweza kuziondosha katika robo ya pili na robo zingine"

Aidha Daktari Irene amewaagiza watendaji walio chini yake kuwajibika kufanya kazi kwa weledi na kwa kuzingatia malengo waliojiwekea katika robo ya pili.

Kikao cha leo ni muendelezo wa kikao cha kwanza kilichojulikana kama 'Roadmap' ambapo watumishi wa Idara ya Afya chini ya Daktari Irene Haule waliamua kujiwekea mikakati ya utendaji kazi na kufanya vikao katika kila robo ili kutathmini utendaji kazi katika sekta hiyo na kufanyia maboresho changamoto zinazopatikana ili kuboresha huduma.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke