• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

''KUPAMBANA DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA, KUNAHITAJI ELIMU ZAIDI KULIKO NGUVU'' RPC MULALE

Posted on: December 5th, 2023

Na:Zaiko January -TMC


Mbunge wa Jimbo la Temeke mheshimiwa Dorothy Kilave akiwa na baadhi ya viongozi wa jeshi la polisi mkoa wa kipolisi Temeke,ameshiriki katika ufunguzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.


Ufunguzi huo umefanyika leo Desemba 05,2023 katika viwanja vya Mwembeyanga.


Akizungumza katika ufunguzi huo uliombatana na uzinduzi wa kampeni ya kupinga ukatili wa kijinsia inayojulikana kama"WEKEZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA"Mhe.Kilave amesema, kupinga ukatili wa kijinsia ni zoezi la Wananchi wote bila kujali kwamba umemtokea nani, kwa kuwa wote ni wahanga.


"Nashukuru sana kwa uanzishwaji wa madawati ya Jinsia, kweli tumeanza vizuri, na mimi pia nimekuwa mhimili mzuri kupinga ukatili huu katika jamii yangu".Alisema Mbunge huyo


Kwa upande wake mkuu wa Polisi mkoa wa kipolisi Temeke (RPC) John Mulale amewataka watoto kuwa wepesi kutoa taarifa juu ya matukio yote ya kikatili yanayotokea majumbani.


"Kupambana dhidi ya ukatili wa kijinsia kunahitaji elimu zaidi kuliko nguvu, ndio maana tunatoa elimu kwa watoto wa shule,kwa sababu elimu ni silaha tosha kwa Jamii yote inayotuzunguka".Alisema RPC Mulale


Aidha baadhi ya wanafunzi walioshiriki ufunguzi huo walisema:


"Tumejifunza namna ya kupambana na ukatili wa kijinsia unaotokea majumbani kwetu" alisema mwanafunzi Hassani Haji .


"Tumejifunza aina za ukatili wa kijinsia na tumejua namba za kupiga kama kuna tukio la ukatili wa kijinsia ambazo ni 116" Alisema mwanafunzi Shakira Abdallah


Zoezi hili litadumu kwa siku 16 ,ambapo katika siku hizo zote elimu juu ya ukatili wa kijinsia itatolewa.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke