• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

Posted on: February 14th, 2021

Serikali imewahakikishia wafanyabiashara nchini mazingira mazuri ya kufanyia biashara huku akisisitiza kuondolewa kwa kodi na ushuru ambao ni kero kwa wafanyabiashara hao.

Ameyasema hayo jijini Dar es  salaam leo alipokuwa katika ziara ya kikazi kutembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa masoko katika manispaa ya Temeke.

Mh.Samia Suluhu alisema kuwa serikali katika kutekeleza kwa vitendo Ilani yake iliamua kuanzisha utaratibu wa vitambulisho vya wajasiriamali ambavyo vinawawezesha kulipa kwa awamu moja tu kwa mwaka na kusaidia kupunguza mzigo kwa wafanyabiashara hao.

"Lakini kama mlivyosikia Waziri Mkuu hivi punde alikuwa na mkutano na wawakilishi wa wajasiriamali wa Tanzania nzima ili kuangalia nini Serikali yenu inaweza kufanya kuboresha mazingira ya kufanya biashara".Aliongeza Mama Samia Suluhu Hassan.

Katika hatua nyingine Makamu wa Rais aliupongeza uongozi wa manispaa hiyo kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato lakini akiwakumbusha kuwa fedha hizo ziende kutatua kero na changamoto za wananchi.

Awali akimkaribisha Makamu wa Rais,Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh.Aboubakar Kunenge alieleza kuwa manispaa ya Temeke imepiga hatua kimaendeleo ukilinganisha na miaka iliyopita.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Ndg Lusubilo Mwakabibi kulia akitoa ufafanuzi wa jambo kwa makamu wa Rais Mama Samia wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo.

"Katika serikali hii ya awamu ya tano tunaona wilaya hii imepata maendeleo sana na inakuwa kwa spidi kubwa,kwa kweli nampongeza sana Mh.Rais."Alisema Mh.Kunenge

Katika ziara hiyo ambayo  Mh.Makamu wa Rais alianzia katika wilaya ya Kigamboni,aliweza kukagua miradi ya barabara Kijichi, kituo cha kibiashara na soko Kijichi pamoja na masoko mengine ya ya Makangarawe, Mbagala kuu, pamoja na soko la Kilakala yote yakiwa katika manispaa  ya Temeke.

Mhe Mkuu wa Wilaya ya Temeke Godwini Gondwe aliyenyosha kidole akitolea ufafanuzi jambo fulani mbele ya Makamu wa Rais.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke