• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

Matokeo ya uchaguzi Manispaa ya Temeke 2020

Posted on: October 29th, 2020

CCM YAIBUKA KIDEDEA MAJIMBO 2 YA WILAYA YA TEMEKE NA KATA ZOTE 23

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika majimbo mawili (2) ya Wilaya ya Temeke, Jimbo la Mbagala na Jimbo la Temeke, pia kimefanikiwa kujinyakulia kata zote 23 za Manispaa ya Temeke.

Akitangaza matokeo hayo Msimamizi wa uchaguzi Ndg Lusubilo Mwakabibi kwa upande wa jimbo la Mbagala ambalo lina Kata 10 amemtangaza Mhe Abdallah Chaurembo kwa tiketi ya CCM kuwa ndiye mshindi wa kiti cha Ubunge katika jimbo hilo kwa kujipatia kura 280,003 sawa na 89.32%.

Akitoa ufafanuzi Zaidi alisema jimbo hilo la Mbagala lilikuwa na waogombea wapatao 15 kwa nafasi ya Ubunge kutoka vyama tofauti vya Siasa ikiwemo CHADEMA, ACT, SAU, NCCR, UDP, NRA, DEMOKRASIA MAKINI, UMD, DP, CUF, ADC, AAFP, ADA TADEA, na CHAUMMA. Idadi ya wapiga kura walioandikishwa 432,326, idadi halisi ya wapiga kura 314,355, idadi ya kura halali 313,489, idadi ya kura zilizokataliwa ni 866.

Kwa upande wa Jimbo la Temeke lenye jumla ya Kata 13, Msimamizi wa Uchaguzi akiwa katika ukumbi wa chuo kikuu cha Ualimu (DUCE) amemtangaza Bi Dorothy Kilave kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge kwa kujipatia kura 192,756 sawa na 75.24%.

Aidha msimamizi wa uchaguzi alifafanua kuwa katika nafasi hiyo ya Ubunge vyama vya Siasa vilivyoshiriki ni 13 ambavyo ni CCM, ACT, CHADEMA, CUF, CCK, ADC, ADA TADEA, AAFP, NCCR, UDP, DEMOKRASIA MAKINI, NRA na UPDP. Idadi ya wapiga kura walioandikishwa 478,630, idadi halisi ya wapiga kura 259,492, idadi ya kura halisi 258,925, idadi ya kura zilizokataliwa 567.

Mwisho Ndg Lusubilo Mwakabibi akikabidhi vyeti vya ushindi kwa wateule hao katika majimbo yote mawili amewataka wakienda bungeni Dodoma wakaisemee Temeke,walete miradi ya maendeleo na sio vinginevyo wananchi wa wilaya ya Temeke wanataka maendeleo.

KIDEDEA MAJIMBO 2 YA WILAYA YA TEMEKE NA KATA ZOTE 23

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika majimbo mawili (2) ya Wilaya ya Temeke, Jimbo la Mbagala na Jimbo la Temeke, pia kimefanikiwa kujinyakulia kata zote 23 za Manispaa ya Temeke.

Akitangaza matokeo hayo Msimamizi wa uchaguzi Ndg Lusubilo Mwakabibi kwa upande wa jimbo la Mbagala ambalo lina Kata 10 amemtangaza Mhe Abdallah Chaurembo kwa tiketi ya CCM kuwa ndiye mshindi wa kiti cha Ubunge katika jimbo hilo kwa kujipatia kura 280,003 sawa na 89.32%.

Akitoa ufafanuzi Zaidi alisema jimbo hilo la Mbagala lilikuwa na waogombea wapatao 15 kwa nafasi ya Ubunge kutoka vyama tofauti vya Siasa ikiwemo CHADEMA, ACT, SAU, NCCR, UDP, NRA, DEMOKRASIA MAKINI, UMD, DP, CUF, ADC, AAFP, ADA TADEA, na CHAUMMA. Idadi ya wapiga kura walioandikishwa 432,326, idadi halisi ya wapiga kura 314,355, idadi ya kura halali 313,489, idadi ya kura zilizokataliwa ni 866.

Kwa upande wa Jimbo la Temeke lenye jumla ya Kata 13, Msimamizi wa Uchaguzi akiwa katika ukumbi wa chuo kikuu cha Ualimu (DUCE) amemtangaza Bi Dorothy Kilave kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge kwa kujipatia kura 192,756 sawa na 75.24%.

Aidha msimamizi wa uchaguzi alifafanua kuwa katika nafasi hiyo ya Ubunge vyama vya Siasa vilivyoshiriki ni 13 ambavyo ni CCM, ACT, CHADEMA, CUF, CCK, ADC, ADA TADEA, AAFP, NCCR, UDP, DEMOKRASIA MAKINI, NRA na UPDP. Idadi ya wapiga kura walioandikishwa 478,630, idadi halisi ya wapiga kura 259,492, idadi ya kura halisi 258,925, idadi ya kura zilizokataliwa 567.

Mwisho Ndg Lusubilo Mwakabibi akikabidhi vyeti vya ushindi kwa wateule hao katika majimbo yote mawili amewataka wakienda bungeni Dodoma wakaisemee Temeke,walete miradi ya maendeleo na sio vinginevyo wananchi wa wilaya ya Temeke wanataka maendeleo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke