- Mwanzo
- Kuhusu Sisi
- Utawala
- Fursa za uwekezaji
-
Huduma Zetu
- Utoaji wa Leseni za biashara
- Utoaji wa Leseni za vileo
- Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
- Utoaji wa hati na leseni za Makazi
- Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
- Upimaji wa ardhi
- Usajili wa vikundi vya kijamii
- Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
- Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
- Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Chanzo cha habari
- Nyaraka
- Mifumo

Akiwa katika zahanati ya Yombo Vituka Mh. Mkuu wa mkoa alipongeza uongozi wa Manispaa ya Temeke kwa kuweka vipaombele kwa wananchi wake na kuamua kuwekeza fedha zake na kujenga zahanati kubwa ya mfano tena kwa mapato ya ndani, ameagiza kasi ya utekelezaji wake iongezwe ili ikamilike kwa wakati na huduma zianze kutolewa.



