• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

"NITAKUWA BALOZI MZURI WA TEMEKE KWAKUWA IMEFANYA MAMBO MAZURI SANA" NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI

Posted on: January 4th, 2023

Na; Sweetbetter Njige

TMC Habari


Leo Januari 04,2023 naibu katibu mkuu TAMISEMI ndugu Ramadhani Kailima amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa katika  shule za Sekondari, ambapo alitembelea pia ujenzi wa madarasa ya ghorofa katika shule ya sekondari Dovya na Lumo.


Akizungumza katika ziara hiyo Ndg. Kailima alisema amefurahishwa na utendaji kazi uliopo kwa watumishi na watendaji wa Temeke, alisema


"Niwapongeze Temeke mnafanya kazi nzuri sana, Mkurugenzi na watendaji wako kazi inaonekana, umenileta hapa Dovya kuna ujenzi wa ghorofa ya floor nne (04) yenye madarasa 32, lakini nilipita mwezi Novemba nikakuta madarasa 12 yanajengwa Mkurugenzi uliniahidi nikirudi yatakuwa yamekamilika nimekuta hivyo mimi nitakuwa balozi mzuri wa Temeke kwakuwa mnafanya mambo mazuri sana"


Aidha Ndg. Kailima amepongeza utaratibu ulioanzishwa na manispaa ya Temeke wa kuwafanyia "orientation" wanafunzi wa kidato cha kwanza waliochaguliwa kuanza masomo ya sekondari katika shule za sekondari za Kata husika,alieleza.


"Niwapongeze Mkurugenzi,Madiwani na wakuu wa shule kwa utaratibu huu, mmefungua shule kwa kidato cha kwanza tu tangu Januari 02 na tayari 90% ya Wanafunzi wameripoti,hii sio tu inatusaidia kwenye takwimu lakini pia tunatengeneza mazingira watoto kuzoea mapema ikifika Januari 09, wanaanza kusoma moja kwa moja, nashauri Halmashauri nyingine ziige mfano huu, kwa shule za kutwa watoto wawe wanafanyiwa hivi".


Kwa upande wake Mkurugenzi wa manispaa ya Temeke amemshukuru Naibu Katibu Mkuu kwa kutembelea miradi hiyo na kuahidi kuendelea kupokea maagizo na kuyafanyia kazi.


Manispaa ya Temeke inatekeleza mradi wa ujenzi wa vyumba 207 vya madarasa katika shule mbalimbali za Sekondari,kadhalika kutokana na changamoto ya uhaba wa maeneo,Manispaa imeamua kujenga madarasa ya gorofa ,ambapo utekelezaji wake umeanza katika shule ya Dovya na Lumo.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • LIPA USHURU WA HUDUMA ZA HALMASHAURI June 21, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA VITUO VYA KUKUSANYAJI MAPATO WASHIRIKI HAFLA YA PAMOJA

    June 21, 2025
  • MANISPAA YA TEMEKE YAPASUA ANGA KIMATAIFA, SASA NI MARAFIKI NA JIJI LA YONGKANG-CHINA

    June 20, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TEMEKE LAACHA ALAMA,LAIDHINISHA MIRADI LUKUKI KUTEKELEZWA 2025/2026

    June 20, 2025
  • NAPA YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA KATA NA MITAA UTEKELEZAJI WA ANWANI ZA MAKAZI

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke