• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

RC CHALAMILA AKAMILISHA ZIARA TEMEKE, AKAGUA MIRADI LUKUKI

Posted on: February 20th, 2024

Na:Shalua Mpanda-TMC Habari


Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Albert Chalamila februari 20, 2024 amehitimisha ziara ya kikazi ya siku mbili wilayani Temeke huku miradi yenye thamani ya zaidi Bilioni 40 ikikaguliwa pamoja na utatuzi wa kero za wananchi.


Mhe.Chalamila amekagua na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Mangaya yenye ghorofa tatu(3) iliyopo kata ya Mbagala unaotarajiwa kugharimu Milioni 850 mpaka kukamilika kwake


Vilevile ametembelea mradi wa ujenzi wa ghorofa 6 hospitali ya Mbagala Rangitatu pamoja na mradi wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme Mbagala utakaogharimu Bilioni 16 huku akikamilisha ziara kwa siku hiyo ya kwanza kwa kukagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Chamazi Sekondari wenye thamani ya Shilingi milioni 104.


Katika siku ya pili ya ziara yake RC Chalamila Mkuu amekagua mradi wa uwekaji waya ardhini unaolenga kusafirisha umeme ardhini wenye thamani ya Bilioni 15, ameongea na wanafunzi katika shule ya sekondari Chang'ombe pamoja na kukagua mradi wa ujenzi wa vyumba 7 vya ghorofa wenye thamani ya Shilingi milioni 400.


Halikadhalika amekagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Kitomondo(0.35 Km) kata ya Miburani yenye thamani ya Shilingi milioni 175 pamoja na kuzindua shule mpya ya msingi Ushirika iliyopo kata ya Yombo vituka wilayani humu uliyogharimu milioni 475 mpaka kukamilika kwake.


RC Chalamila ameonesha kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, amepongeza uongozi wa manispaa ya Temeke kwa usimamizi mzuri wa halmashauri na mwisho alipata wasaa wa kuzungumza na wananchi pamoja kutatua kero na changamoto zao katika mikutano ya hadhara iliyofanyika katika majimbo ya Mbagala na Temeke.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke