• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

RC MAKALLA: ACHENI KUPANGA BIASHARA BARABARANI

Posted on: January 28th, 2023

Na:Shalua Mpanda-TMC

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mheshimiwa Amos Makalla amewataka wafanyabiashara wanaofanya biashara maeneo yasiyoruhusiwa hasa ya barabara kuondoka maeneo hayo ili kuweza kutunza miundombinu hiyo.

Mhe.Makalla amesema hayo leo Januari 28,2023 wakati wa kampeni maalum ya usafi ya kila mwisho wa mwezi ambayo Kimkoa imefanyika katika kata ya Charambe, mtaa wa Rangitatu.

"Barabara za mabasi ya mwendokasi ni maalum kwa mabasi hayo na si kwa ajili ya kupanga biashara,waulizeni wenzenu wa Msimbazi walikuwa wanapanga biashara kwenye barabara hizo,kila siku walikuwa wanagongwa na mabasi hayo".Alisema Mkuu huyo wa Mkoa.

Aidha Mhe. Makalla amewataka Wafanyabiashara hao kuacha kufanya biashara katika barabarani hiyo ili kumuwezesha Mkandarasi kufanya kazi zake kwa uhuru.

Awali akiongea na Wananchi waliojitokeza kufanya usafi katika eneo hilo Mkuu huyo wa Mkoa aliwataka Wananchi hao kujenga tabia ya kufanya usafi kwenye maeneo yao na sio kusubiri mwisho wa mwezi, huku akisisitiza pia upandaji wa miti na utengenezaji wa bustani kwenye makazi yao ili kuifanya Dar es Salaam kuwa ya kijani.

Akimshukuru Mkuu wa mkoa,Mstahiki meya wa manispaa ya Temeke Mhe. Abdallah Mtinika amesema mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekuwa ni kiongozi anayeonesha kwa vitendo kuwa ni mtu anayependa usafi ambapo katika kudhihirisha hilo aliandaa ziara ya viongozi wa mkoa wa Dar es salaam kwenda nchini Rwanda kujifunza namna ya utunzaji wa mazingira.

Kampeni ya usafi wa kila mwisho wa mwezi ambayo ilianzishwa na Mkuu huyo wa mkoa,imekuwa na mafanikio makubwa ambapo imesaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko hasa kipindupindu kilichokuwa kinasumbua katika Mkoa huu.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke