• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

Wananchi watakiwa kupanda Miti ya Matunda

Posted on: June 1st, 2018

Wilaya ya Temeke yafanya uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani kiwilaya.

Akizungumza na wanachi katika sherehe hizo Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh:Felix Lyaniva alisema “Jiji letu limepwa heshima kubwa ya kuwa mwenyeji wa sherehe za kilele kitaifa, na kwa ngazi ya kiwilaya tumeanza leo kwa kupanda miti na kufanya usafi katika maeneo yote ya Hospitali.Hii ni kutokana na changamoto kubwa ya mazingira inayojitokeza mara kwa mara”.

Alisema maadhimisho haya yatafanyika Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja vya Mnazi Mmoja na kauli mbiu “Mkaa ni gharama, Tumia nishati mbadala”Alisisitiza.

Aliongeza kuwa maadhimisho hayo yatatanguliwa na shughuli mbalimbali za uhamasishaji juu ya utunzaji na uhifadhi wa mazingira.

Miongini mwa shughuli hizo ni makongamano yatakayohusisha wadau mbalimbali wa mazingira,maonesho ya shughuli za mazingira,upandaji miti na kampeni za usafi katika maeneo mbalimbali.

 Lyaniva alisisitiza kuwa shughuli hizi zitafanyika kwa wiki nzima kuanzia tarehe 31 Juni mpaka tarehe 5 Juni ambapo itakuwa siku ya kilele.

Vile vile alibainisha kuwa ukataji wa miti kwa matumizi mbalimbali ikiwemo nishati huleta athari za kimazingira,kama vile ongezeko la hewa ya ukaa na joto duniani,kuyeyuka kwa barafu katika vilele vya milima,kuongeeka kwa kina cha habari,ukame na mafuriko.

Aidha ili kutekeleza jitihada za kupunguza matumizi ya nishati itokanayo na miti Mkoa wa Dar es Salaam,kupitia mpango wake wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi umefanikiwa kujenga ukuta ili kuzuia mmomonyoko katika kinga ya bahari ya Hindi.

Pamoja na utumiaji wa majiko banifu badala ya mkaa.Lengo kuu likiwa kuhifadhi misitu tuliyonayo nchini.

Wilaya ya Temeke imekuwa ikitekeleza tamko la Mh.Rais John Pombe Magufuli la “usafi kwanza” la tarehe 9 Disemba 2015.

Pamoja na juhudi zinazofanywa,Wilaya ya Temeke imeamua kuweka mazingira safi na yenye kuvutia kwa kupanda miti kupitia kauli mbiu ya “Mti wangu”.

Aidha Wilaya ya Temeke imekuwa na utaratibu wa kufanya usafi kwa kila mwisho wa wiki (Jumamosi) na Jumamosi ya mwisho wa mwezi.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • LIPA USHURU WA HUDUMA ZA HALMASHAURI June 21, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA VITUO VYA KUKUSANYAJI MAPATO WASHIRIKI HAFLA YA PAMOJA

    June 21, 2025
  • MANISPAA YA TEMEKE YAPASUA ANGA KIMATAIFA, SASA NI MARAFIKI NA JIJI LA YONGKANG-CHINA

    June 20, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TEMEKE LAACHA ALAMA,LAIDHINISHA MIRADI LUKUKI KUTEKELEZWA 2025/2026

    June 20, 2025
  • NAPA YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA KATA NA MITAA UTEKELEZAJI WA ANWANI ZA MAKAZI

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke