• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mazingira na Maji taka
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Investment profile
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Watumishi
    • Ujasiliamali
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu mbalimbali
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
      • Fomu ya maadili
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbalimbali
    • Social economic profile
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

"Baraza Hili Halitakuwa la Mazoea" Mhe Mtinika.

Posted on: December 15th, 2020

Halmashauri ya manispaa ya Temeke imepata mstahiki meya mpya baada ya uchaguzi uliofanywa na baraza la kwanza la madiwani katika Manispaa hiyo.Baraza hilo kwa pamoja lilimchagua diwani wa kata ya Kibondemaji Mheshimiwa Abdallah Said Mtinika kuwa meya mpya wa Manispaa hiyo, akichukua nafasi ya mh.Abdallah Chaurembo ambaye kwa sasa ni Mbunge wa jimbo la Mbagala.

Akiongea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi huo,mh.Mtinika alisema kuwa baraza lake la madiwani ambalo ataliongoza halitakuwa la mazoea na badala yake atafanya kazi kulingana na ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

"Nitahakikisha naifanya manispaa hii kuwa ya kisasa na yeyote ambaye anadhani kuwa kutokana na umbo langu kuwa dogo sitoweza kuifanya kazi hii atakuwa amekosea"Alisema Meya huyo.

Aidha katika uchaguzi huo pia diwani wa kata ya Kurasini Mheshimiwa Arnold Emmanuel Peter alichaguliwa kuwa Naibu meya wa Manispaa hiyo.

Awali akimkaribisha Meya huyo Mkurugenzi wa manispaa ya Temeke  Ndugu Lusubilo Mwakabibi, aliwaasa madiwani hao kuheshimu na kutekeleza maagizo kutoka kwa Mstahiki meya kwa kuwa ndiye aliyechaguliwa kwa wakati huo.

"Nataka niwaambie wakuu wangu wa Idara hii ni mamlaka kamili na tufanye kazi kwa ushirikiano na ili kuifanya manispaa yetu kusonga mbele" Alisema Mkurugenzi .

Baadhi ya waheshimiwa madiwani wakila kiapo cha maadili katika ukumbi wa mikutano Iddy Nyundo.


Jumla ya madiwani 35 walipiga kura kumchagua Mstahiki meya na Naibu meya na kabla ya hapo madiwani 23 kutoka kata za manispaa hiyo walikula kiapo cha utii kuanza majukumu yao ya udiwani.Manispaa ya temeke ina jumla ya kata 23 ambapo madiwani wakuchaguliwa jumla yao ni 23,madiwani wa viti maalum 8,wabunge wa kuchaguliwa 2 pamoja na wabunge viti maalum 3 ambao wanaunda Baraza hilo lenye jumla ya madiwani 36.

Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Katibu tawala mkoa wa Dar es salaam,katibu tawala wa manispaa ya Temeke pamoja Afisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU).

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA TEMEKE 2021 January 08, 2021
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA MASOMO 2021 December 15, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA TEMEKE MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 16, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI TEMEKE AKABIDHIWA MAGARI NANE (8) YA KUZOLEA TAKA.

    March 03, 2021
  • MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

    February 14, 2021
  • DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

    February 12, 2021
  • DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

TEMEKE YA VIWANGO
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE - 2019
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke