• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mazingira na Maji taka
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Investment profile
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Watumishi
    • Ujasiliamali
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu mbalimbali
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
      • Fomu ya maadili
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbalimbali
    • Social economic profile
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

Posted on: February 8th, 2021

Mkuu wa wilaya Temeke Mheshimiwa Godwin Gondwe amemtaka mkandarasi wa kampuni ya SINOHYDRO inayotengeneza barabara ya mwendokasi(DART) awamu ya pili kuhakikisha anafanya kazi hiyo kwa thamani halisi ya fedha.

Mkuu huyo wa wilaya ameyasema hayo alipokuwa akikagua baadhi ya maeneo ya mradi huo ambapo aligundua kasoro nyingi ikiwemo nyufa zilizoanza kujitokeza katika barabara hiyo na vituo vya mabasi katika mradi huo.


Mhe Godwin Gondwe akiwa na kamati ya ulinzi pamoja na wataalam wengine wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya Mwendokasi.


"Kwa taarifa nilizonazo ninyi viongozi wa hii kampuni ya SINOHYDRO mnawarubuni vijana wetu waliopo maabara wakatae matokeo rasmi ya maabara na  wakikataa mnawafukuza kazi".Alisema Gondwe

Kwa upande wake Meneja mradi wa TANROADS,Injinia Barakael Mmari alimuhakikishia mkuu wa wilaya kuwa atahakikisha anafuatilia na kuwaandikia kwa maandishi mkandarasi huyo.

Akiwataja kwa jina moja moja Mkuu wa wilaya aliwataja Bw.Ten,Yang na Duo kuwa ni miongoni mwa wanaojaribu kuhujumu mradi huo kwa kufanya kazi hiyo chini ya kiwango na kushawishi wataalamu wa maabara kutoa matokeo ambayo si sahihi.

"Siwezi kuona mradi mkubwa ambao Mh.Rais Magufuli anatoa pesa nyingi unahujumiwa halafu mimi nipo hapa,siwezi kukubali Temeke".Alisisitiza Mkuu wa wilaya Temeke.

Mkuu huyo wa wilaya amemtaka Mkandarasi huyo kufuata sheria na taratibu za mkataba zilizowekwa na ameonesha kutoridhishwa kwake na kasi ya ujenzi huo ambao alisema hana uhakika kama utakamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa.

"Madhara ya haya tutakuja kuyaona baada ya miaka 10 au 20 mbele,watu watakufa hapa,magari yataanguka watasingizia magari mabovu kumbe barabara ndio mbovu,na huku ni kumuhujumu Mh.Rais."Alibainisha Mh.Gondwe


Mwonekano wa kipande cha ujenzi wa barabara ya Mwendokasi Mbagala.































+3























Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA TEMEKE 2021 January 08, 2021
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA MASOMO 2021 December 15, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA TEMEKE MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 16, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI TEMEKE AKABIDHIWA MAGARI NANE (8) YA KUZOLEA TAKA.

    March 03, 2021
  • MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

    February 14, 2021
  • DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

    February 12, 2021
  • DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

TEMEKE YA VIWANGO
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE - 2019
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke