• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mazingira na Maji taka
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Investment profile
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Watumishi
    • Ujasiliamali
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu mbalimbali
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
      • Fomu ya maadili
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbalimbali
    • Social economic profile
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

Posted on: February 14th, 2021

Serikali imewahakikishia wafanyabiashara nchini mazingira mazuri ya kufanyia biashara huku akisisitiza kuondolewa kwa kodi na ushuru ambao ni kero kwa wafanyabiashara hao.

Ameyasema hayo jijini Dar es  salaam leo alipokuwa katika ziara ya kikazi kutembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa masoko katika manispaa ya Temeke.

Mh.Samia Suluhu alisema kuwa serikali katika kutekeleza kwa vitendo Ilani yake iliamua kuanzisha utaratibu wa vitambulisho vya wajasiriamali ambavyo vinawawezesha kulipa kwa awamu moja tu kwa mwaka na kusaidia kupunguza mzigo kwa wafanyabiashara hao.

"Lakini kama mlivyosikia Waziri Mkuu hivi punde alikuwa na mkutano na wawakilishi wa wajasiriamali wa Tanzania nzima ili kuangalia nini Serikali yenu inaweza kufanya kuboresha mazingira ya kufanya biashara".Aliongeza Mama Samia Suluhu Hassan.

Katika hatua nyingine Makamu wa Rais aliupongeza uongozi wa manispaa hiyo kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato lakini akiwakumbusha kuwa fedha hizo ziende kutatua kero na changamoto za wananchi.

Awali akimkaribisha Makamu wa Rais,Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh.Aboubakar Kunenge alieleza kuwa manispaa ya Temeke imepiga hatua kimaendeleo ukilinganisha na miaka iliyopita.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Ndg Lusubilo Mwakabibi kulia akitoa ufafanuzi wa jambo kwa makamu wa Rais Mama Samia wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo.

"Katika serikali hii ya awamu ya tano tunaona wilaya hii imepata maendeleo sana na inakuwa kwa spidi kubwa,kwa kweli nampongeza sana Mh.Rais."Alisema Mh.Kunenge

Katika ziara hiyo ambayo  Mh.Makamu wa Rais alianzia katika wilaya ya Kigamboni,aliweza kukagua miradi ya barabara Kijichi, kituo cha kibiashara na soko Kijichi pamoja na masoko mengine ya ya Makangarawe, Mbagala kuu, pamoja na soko la Kilakala yote yakiwa katika manispaa  ya Temeke.

Mhe Mkuu wa Wilaya ya Temeke Godwini Gondwe aliyenyosha kidole akitolea ufafanuzi jambo fulani mbele ya Makamu wa Rais.


Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA TEMEKE 2021 January 08, 2021
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA MASOMO 2021 December 15, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA TEMEKE MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 16, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI TEMEKE AKABIDHIWA MAGARI NANE (8) YA KUZOLEA TAKA.

    March 03, 2021
  • MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

    February 14, 2021
  • DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

    February 12, 2021
  • DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

TEMEKE YA VIWANGO
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE - 2019
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke