• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mazingira na Maji taka
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Investment profile
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Watumishi
    • Ujasiliamali
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu mbalimbali
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
      • Fomu ya maadili
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbalimbali
    • Social economic profile
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

Tehama na Uhusiano

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke inatekeleza majukumu yake kwa kuweka kipaumbele katika kitengo cha Tehama kama ifuatavyo:

Kitengo cha Tehama (Teknolojia,Habari,Mawasiliano na Uhusiano ni muunganiko wa unit mbili nazo ni :

  • Public Relation
  • IT (Information  Communication Technology)  na
  • GIS (Geographical Information System)

 

MAJUKUMU YA KITENGO

SEHEMU YA TEHAMA 

  • Kumshauri Mkurugenzi  kuhusu mambo yote yahusuyo Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano.
  • Kusimamia,kuboresha na kuratibu mifumo, miundombinu na vifaa vya ICT na matumizi ya kitengo ndani ya Halmashauri.
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya manunuzi, matumizi na uanzishwaji wa shughuli zote za ICT ndani ya Halmashauri.
  • Kuhakikisha tovuti ipo hewani na kufanya maboresho yanapohitajika.

SEHEMU YA UHUSIANO

  • Kumshauri Mkurugenzi  kuhusu mambo yote yahusuyo Habari na Uhusiano.
  • Kufanya mikutano na waandishi wa habari [press conference] ndani ya Manispaa na Habari maelezo pia kurekodi na kuhifadhi picha za kawaida na video kwa kumbukumbu na kurushwa kupitia luninga na redio kwa jamii.
  • Kuitangaza Halmashauri kupitia machapisho, vipindi vya redio na luninga,  pia kutoa habari au ufafanuzi uhusuyo Halmashauri ya Manispa yaTemeke, kwa vyombo vya habari.

GIS 

GIS ni mfumo wa kijiografia unaotunza taarifa mbalimbali zilizopo katika juu ya uso wa ardhi,taarifa hizi huifadhiwa katika kompyuta na baadae matokeo yake hutokea katika ramani kulingana na matumizi  husika.

  • Kumshauri Mkurugenzi  kuhusu mambo yote yahusuyo ramani za kijiografia( GIS) kwa kila Idara. Mfano idara ya Ardhi kuonyesha ramani  mbalimbali zinazohusiana na viwanja vilivopimwa  na visipimwa kumtambua mhusika na  kusimamia miradi kama anuani na makazi(postcode).
  • Kuandaa mpango mkakati utakaosaidia uzoaji taka katika kila point  na gharama zote kwa ujumla ili kuepuka madhara katika jamii.
  • Katika idara ya Afya kuandaa ramani zitakazoonyesha vituo vya afya vilipo katika mfumo wa kijiografia na takwimu zake.
  • Katika Idara ya maendeleo ya Jamii kuandaa ramani za kijiografia kuonyesha  maeneo hatarishi.
  • Katika Idara ya  Ujenzi kuandaa ramani(Road Network)ambazo zinasaidia kutambua kwa haraka  kujua  umbali,na matumizi mengine.

Katika  Idara ya Fedha ,mfumo uliweza kutambua wamiliki wa Majengo wanaolipa kodi za majengo na matumizi ya majengo kabla ya kuhamishiwa Mamlaka ya Mapato(TRA)Kwa sasa GIS inaweza kutumika  kutambua vyanzo vingine vya mapato.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA TEMEKE 2021 January 08, 2021
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA MASOMO 2021 December 15, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA TEMEKE MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 16, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI TEMEKE AKABIDHIWA MAGARI NANE (8) YA KUZOLEA TAKA.

    March 03, 2021
  • MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

    February 14, 2021
  • DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

    February 12, 2021
  • DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

TEMEKE YA VIWANGO
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE - 2019
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke