• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Utawala na Utumishi
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mazingira na Maji taka
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Ugavi na Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Investment profile
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Watumishi
    • Ujasiliamali
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu mbalimbali
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
      • Fomu ya maadili
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbalimbali
    • Social economic profile
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

"Tuache malumbano tufanye kazi za Wananchi" M/kiti CCM( W) Temeke.

Posted on: February 2nd, 2021

Viongozi wa vyama na Serikali wametakiwa kuacha malumbano na badala yake wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi.

Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Temeke Bi Almish Hassal alipokuwa kwenye ziara na kamati ya siasa ya Wilaya hiyo kukagua miradi ya maendeleo.

"Nakupongeza sana Mh.Diwani wa kata hii ya Kilungule Mh.Saidi Fella kwa jinsi unavyokaa na kamati yako ya maendeleo ya wilaya na kusikiliza kero za wananchi kwa pamoja".Alisema Mwenyekiti huyo.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh.Godwin Gondwe aliwahakikishia wananchi wa Wilaya hiyo kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt John Pombe Magufuli imedhamiria kutatua changamoto za wananchi na ikiwezekana kuzimaliza kabisa.

"Kwa mfano mdogo tu tokea Uhuru wilaya hii ilikuwa na barabara ya lami kilometa 70 tu lakini kwa kipindi cha miaka mitano tu yw Mh.Magufuli ametengeneza zaidi ya kilometa 90".Alibainisha Mh.Gondwe.

Akimkaribisha Katibu wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Temeke,Diwani wa kata ya Kilungule Mh.Saidi Fella aliiomba serikali kujenga shule ya msingi pamoja na zahanati ili kuweza kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya na elimu.

Kamati hiyo ya siasa imeweza kutembelea miradi mbalimbali katika wilaya hiyo ikiwemo kituo cha afya Buza,soko la Makangarawe pamoja na eneo la Muhimbili Chamazi ambapo panatarajiwa kujengwa hospitali ya Wilaya.


Matukio katika picha wakati wa ziara ya kamati ya Siasa (W) Temeke.


 

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA TEMEKE 2021 January 08, 2021
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA MASOMO 2021 December 15, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA TEMEKE MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 16, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI TEMEKE AKABIDHIWA MAGARI NANE (8) YA KUZOLEA TAKA.

    March 03, 2021
  • MAMA SAMIA AWAHAKIKISHIA NEEMA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA.

    February 14, 2021
  • DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

    February 12, 2021
  • DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

TEMEKE YA VIWANGO
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE - 2019
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tovuti ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke