• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

DC TEMEKE ATOA SIKU 14 KWA MZABUNI WA VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA BUZA

Posted on: February 12th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe Godwin Gondwe ametoa siku 14 kwa Mzabuni wa vifaa tiba Bahari Phamacy kuhakikisha vifaa hivyo vinapatikana ndani ya siku kumi na nne kuanzia leo.

Sambamba na hilo amemtaka mzabuni wa samani katika Hospitali hiyo ambaye ni "Jaffery Industries" hadi kufikia tarehe 16/03/2021 awe ameweka Samani zote kwa mujibu wa mkataba katika kituo hicho cha Afya.

Ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya Kituo hicho cha Afya cha kisasa, mradi unaotekelezwa na Mradi wa uboreshaji wa jiji la Dar es salaam(DMDP).

Akiwa katika kituo hicho cha Afya alipata wasaa wa kukikagua na kupata taarifa ya gharama ya ujenzi wa kituo hicho ambapo hadi kukamilika kwake itagharimu Bilioni 4.4 ambapo bilioni 2.2 ni ujenzi wa jengo na 2.2 vifaa tiba na samani,kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mganga Mkuu wa Manispaa Dkt Gwamaka Mwabulambo.

"Wananchi wa Buza wanataka kuona kituo cha Afya kinafanya kazi hivyo lazima kazi zifanyike kwa kuzingatia mkataba na kazi zikamilike kwa wakati" Alisema Mhe Gondwe.

Ifahamike kuwa Kata ya Buza pekee ina miradi yenye thamani zaidi ya bilioni 18 ambayo inatekelezwa na DMDP ambayo ni Kituo cha Afya pamoja na miradi mingine ya barabara.

Aidha katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya aliambatana  na kamati ya Ulinzi na Usalama, Katibu Tawala wa Wilaya pamoja na wataalamu kutoka Manispaa.

Mhe. Mkuu wa Wilaya  ameonyesha kuridhishwa na ujenzi wa jengo la kituo cha afya Buza na kumpongeza Mkurugenzi wa Manispaa pamoja na Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo.

Baadhi ya matukio katika picha yakionyesha Mhe .Mkuu wa wilaya wakati wa ukaguzi wa kituo cha afya Buza Temeke Jijini Dar es Salaam.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke