• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

KILIO CHA KIVUKO KATA YA MIANZINI CHAFIKA MWISH0

Posted on: March 25th, 2023

Leo Machi 25,2023 mkuu wa wilaya ya Temeke Mheshimiwa Mwanahamisi Munkunda amezindua rasmi ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu kinachounganisha kata ya Mianzini na Toangoma .Hafla ya uzinduzi huo imefanyika katika mtaa wa Mponda,kitongoji cha Unyago wa Bure.


Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mhe. Mwanahamisi aliwataka wasimamizi wa mradi huo utakaotekelezwa kwa 'force account' kuhakikisha wanajali maslahi ya mradi kwa maendeleo ya Wananchi, na kusisitiza suala la ulinzi na kujituma ili mradi ukamilike kwa wakati. Alisema


"Mradi huu unajibu kero za Wananchi za muda mrefu, mradi huu tutaujenga usiku na mchana ili kufikia mwezi wa tano uwe umekamilika,vitaletwa vifaa vya thamani hapa, tushirikiane katika ulinzi, tukisikia kitu kimeibiwa mtalipa wenyewe.Afande RPC una RB yao mkononi, tukisikia kitu kimeibiwa uje mwenyewe hapa,kila mmoja awe mlinzi wa mwenzake".


Kwa upande wake Mbunge wa jimbo la Mbagala Mhe. Abdallah Chaurembo alipongeza hatua hiyo ya kupata mradi wa kivuko na amewataka Wananchi kutoa ushirikiano wakati wa utekelezaji wa mradi huo. Alisema


"Tuliahidi kushirikiana kutoa nguvu kazi kuhakikisha mradi unatekelezeka, sasa ni jukumu letu kutoa huo ushirikiano kwa kufanya kazi, Mhe. DC tufikishie salamu zetu kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ,TASAF wasingeweza kutoa fedha bila Mhe. Rais"


Kwa upande wake diwani wa kata ya Mianzini Mhe. Alhaj Abdallah Mzee amepongeza ujenzi wa kivuko hicho na kuwakumbusha Wananchi wa eneo hilo kuwa Serikali kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) ipo pamoja nao na itaendelea kutatua changamoto zao.


Mradi wa ujenzi wa kivuko hicho unatekelezwa na TASAF (Tanzania Social Action Fund) ambapo nguvu za Wananchi na jumla ya shilingi milioni 97 zinatarajiwa kutumika kukamilisha mradi huo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke