• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

MWAROBAINI UKUSANYAJI KODI ZA MAJENGO TEMEKE WAJA.

Posted on: February 3rd, 2021

Kufuatia muongozo mpya wa Serikali kuhusu ukusanyaji wa kodi za majengo,ushuru wa mabango na vitambulisho vya wajasiriamali kusimamiwa na Wakurugenzi wa halmashauri;uongozi wa manispaa ya Temeke umeanza kujiandaa kutekeleza agizo hilo.

Akiongea na waandishi wa Habari Mkurugenzi wa manispaa hiyo Bw.Lusubilo Mwakabibi alisema kuwa wameandaa utaratibu utakaowawezesha kutambua idadi kamili ya nyumba zilizopo kwenye Manispaa hiyo ili kuweza kufanikisha zoezi la ukusanyaji wa kodi hiyo ya majengo.

"Leo hii tarehe 3 mwezi huu wa pili nimeita watendaji wangu wote wa mtaa na kata tupange namna ya kwenda kukusanya mapato".Alisema Bw.Mwakabibi

Aidha Bw.Lusubilo alitoa maelekezo kwa watendaji wa mitaa na kata kuhakikisha zoezi hilo la utambuzi wa majengo linafanyika kwa wakati ili kurahisisha zoezi hilo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa watendaji wa kata wa wilaya ya Temeke Bw.Anzamen Mandari alisema baada ya kupata maagizo hayo ya Mkurugenzi,watahakikisha hakuna nyumba au jengo litakaloachwa bila kulipa kodi.

Naye Afisa mtendaji wa kata ya Buza Bi Hulda Ulomi alimpongeza Mh.Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kuweka msisitizo katika suala zima la ulipaji wa kodi ambazo ndizo zinasaidia kufanya miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

"Tumekuja hapa kupata maelekezo na tutahakikisha kuwa haya tuliyoelekezwa leo tunayafanyia kazi".Alibainisha Bi Mtendaji huyo.

Februari mosi mwaka 2021 Serikali kupitia Waziri Ofisi  ya Rais Tawala za Mikoa na Serikalu za Mitaa Mh.Suleimani Jafo alitoa muongozo mpya wa serikali juu ya ukusanyaji wa kodi mbalimbali kurudishwa chini ya wakurugenzi wa Halmashauri Nchini.


Baadhi ya watendaji wa Kata na Mitaa wakiwa katika kikao kazi ukumbi wa Manispaa Iddy Nyundo mapema leo

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke