• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

Temeke ya ng'aa maonesho ya Nanenane

Posted on: August 3rd, 2018

“Temeke mmejipanga sana, nimejifunza mengi na nimevutiwa na kila kitu nilichokikuta hapa. Hongereni kwa ubunifu” Godwin Sakaya. ni maneno ya mmoja wa wageni aliyehudhuria katika banda letu la Manispaa.

Ikiwa ni moja kati ya washiriki katika maonesho ya wakulima na wafugaji ya  mwaka 2018 katika mji wa Morogoro ambapo maonesho haya yanafanyikia hapa kwa Kanda ya Mashariki na Pwani. Kanda ambayo inajumuisha mikoa ya  Pwani, Dar es Salaam, Tanga na Morogoro.

Temeke kati ya Halmashauri 6 zilizopo katika jiji la Dar es Salaam imejipanga kuwapa wanachi huduma zilizo bora katika msimu huu wa nanenane. Chini ya uongozi makini wa mkurugenzi wake ndg:Nassibu Mmbagga Temeke imeweza kuiishi kauli mbiu ya Mh:Rais,na kuhakikisha tunawekeza katika kilimo, mifugo na uvuvi ili kuelekea katika uchumi wa viwanda. Hili limedhibitika wazi katika maonesho haya.

Moja ya huduma inayotolewa ni shamba darasa ambalo wataalamu wamekua wakitoa elimu kwa wananchi juu ya kilimo bora na namna ya kuandaa shamba lako. Darasa hili limekua msaada sana kwa wakulima wapya ambao wameonesha nia ya dhati katika kuwekeza katika kilimo.

Aidha madaktari bingwa wa kilimo wanatoa huduma ya zahanati ya afya ya mimea, ambayo inatibu mimea iliyo athirika na magonjwa mbalimbali.

Banda la temeke limezungukwa na vipando vingi ikiwemo mboga mbalimbali, kilimo cha viungo (spices) za chakula na dawa, madawa ya asili ya kuzuia wadudu na magonjwa mbalimbali shambani.

Pamoja na hayo kivutio kikubwa katika banda la temeke ni kiwanda cha kutengeneza viatu. Pindi ufikapo katika banda letu utapata fursa ya kujua namna viatu vinavyotengenezwa. Pia utapata kiatu cha aina yako na ukubwa unaotaka.

Kiwanda hiki kinatengeneza bidhaa zote zitokanazo na mifugo kwa kutumia ngozi halisi. Mfano viatu vya aina zote, mikanda na mikoba. Kiwanda hiki ni tafsri tosha kuwa Temeke sasa tumeamua kuwekeza katika Tanzania ya viwanda.

Kama ilivyo shauku ya Rais wa Jamuhuri ya Tanzania Mh: John Pombe Magufuli kuhakikisha kila mwananchi anapata fursa ya kujinyanyua kiuchumi hadi kufikia uchumi wa kati, katika kulitekeleza hilo kupitia mpango wa nchi katika kuwasaidia walengwa wa kaya maskini yaani TASAF Temeke imeweza kuwafundisha na kuwasimamia wajasiliamali kupitia mpango huo kwa fedha wanayoipokea kila baada ya miezi miwili. Ambayo wajasiliamali hao wameunda vikundi vya VICOBA ili kujisimamia katika matumizi ya fedha hizo.

Hivyo wajasiliamali hao wapo katika maonesho haya ili kuonesha ubunifu mbalimbali ambao wanaufanya kama usindikaji wa vyakula, mboga na matunda katika viwango vya hali ya juu, ubunifu wa kutumia mikono, na uchakataji wa samaki.

Hakika ukifika katika banda letu la temeke hutatoka bure, kuna mambo mengi mazuri yenye kuvutia.

Maonesho ya nanenane yanaendelea katika viwanja hivi vya Nanenane Morogoro mpaka kufikia kilele chake siku ya tarehe 8/8/2018.

 Kauli mbiu ya mwaka huu ni “wekeza katika kilimo, mifugo na uvuvi kwa maendeleo ya viwanda”.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke