• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

TEMEKE YAFUNGUA MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI KWA MADIWANI.

Posted on: March 1st, 2022

 Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ashiriki kufungua zoezi la mafunzo ya anwani za makazi na postikodi kwa madiwani lilofanyika Februari 25, 2022 katika ukumbi wa Iddi Nyundo uliopo katika ofisi za Manispaa ya Temeke.

Aidha mafunzo hayo yaliyojumuisha wabunge wa Temeke, wakuu wa idara wa manispaa na wataalamu yenye malengo ya kuwajengea uwezo na uelewa madiwani juu ya mfumo huo na kuongeza umuhimu wa nafasi zao katika kuhamasisha wananchi wa maeneo yao ili kurahisha zoezi la ukusanyaji wa taarifa za anwani za makazi na postikodi.

Kwa namna yake Mhe. Mtinika amesema anawashukuru sana wakufunzi kwa kuwajengea uelewa huku akitumia nafasi hiyo kutoa wito kwa madiwani kutumia uelewa huo kuhamasisha wananchi kushiriki katika utoaji wa taarifa zao ili kukamilika zoezi la anwani za makazi na postikodi kwa wakati.

"Nawapongeza wataalamu na madiwani kwa kuaandaa semina hii iliyolenga kutupa ujuzi juu mfumo huu utaopelekea kuleta maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla". Alisema Mhe. Mtinika

Wakati huohuo Mbunge wa Temeke Mhe. Doroth Kilave ametoa wito kwa wananchi kushirikiana vyema na wataalamu watakaokuwa wanakusanya taarifa zao ili kusaidia zoezi hilo kukamilika kwa wakati na kufikia lengo linalokusudiwa.

Sambamba na hayo naye mwenyekiti wa kamati ya anwani za makazi na postikodi Temeke Bi. Veronica Igoko ameeleza kuwa mafunzo hayo yatasaidia madiwani kuwa wasimamizi bora wa zoezi hilo katika kata zao.

Ikumbukwe zoezi la anwani za makazi na postikodi nchini litakuwa lenye manufaa mengi ikiwemo kurahisisha kufanyika biashara ya mitandao, kuimarisha ulinzi na usalama, kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya Serikali, kuongeza ajira pamoja na kurahisisha shuhuli za tafiti na upatikanaji wa Taarifa nchini.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke