• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

DC GONDWE AGEUKA "MBOGO" KWA MKANDARASI DART.

Posted on: February 8th, 2021

Mkuu wa wilaya Temeke Mheshimiwa Godwin Gondwe amemtaka mkandarasi wa kampuni ya SINOHYDRO inayotengeneza barabara ya mwendokasi(DART) awamu ya pili kuhakikisha anafanya kazi hiyo kwa thamani halisi ya fedha.

Mkuu huyo wa wilaya ameyasema hayo alipokuwa akikagua baadhi ya maeneo ya mradi huo ambapo aligundua kasoro nyingi ikiwemo nyufa zilizoanza kujitokeza katika barabara hiyo na vituo vya mabasi katika mradi huo.


Mhe Godwin Gondwe akiwa na kamati ya ulinzi pamoja na wataalam wengine wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya Mwendokasi.


"Kwa taarifa nilizonazo ninyi viongozi wa hii kampuni ya SINOHYDRO mnawarubuni vijana wetu waliopo maabara wakatae matokeo rasmi ya maabara na  wakikataa mnawafukuza kazi".Alisema Gondwe

Kwa upande wake Meneja mradi wa TANROADS,Injinia Barakael Mmari alimuhakikishia mkuu wa wilaya kuwa atahakikisha anafuatilia na kuwaandikia kwa maandishi mkandarasi huyo.

Akiwataja kwa jina moja moja Mkuu wa wilaya aliwataja Bw.Ten,Yang na Duo kuwa ni miongoni mwa wanaojaribu kuhujumu mradi huo kwa kufanya kazi hiyo chini ya kiwango na kushawishi wataalamu wa maabara kutoa matokeo ambayo si sahihi.

"Siwezi kuona mradi mkubwa ambao Mh.Rais Magufuli anatoa pesa nyingi unahujumiwa halafu mimi nipo hapa,siwezi kukubali Temeke".Alisisitiza Mkuu wa wilaya Temeke.

Mkuu huyo wa wilaya amemtaka Mkandarasi huyo kufuata sheria na taratibu za mkataba zilizowekwa na ameonesha kutoridhishwa kwake na kasi ya ujenzi huo ambao alisema hana uhakika kama utakamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa.

"Madhara ya haya tutakuja kuyaona baada ya miaka 10 au 20 mbele,watu watakufa hapa,magari yataanguka watasingizia magari mabovu kumbe barabara ndio mbovu,na huku ni kumuhujumu Mh.Rais."Alibainisha Mh.Gondwe


Mwonekano wa kipande cha ujenzi wa barabara ya Mwendokasi Mbagala.































+3























Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke