• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

"Baraza Hili Halitakuwa la Mazoea" Mhe Mtinika.

Posted on: December 15th, 2020

Halmashauri ya manispaa ya Temeke imepata mstahiki meya mpya baada ya uchaguzi uliofanywa na baraza la kwanza la madiwani katika Manispaa hiyo.Baraza hilo kwa pamoja lilimchagua diwani wa kata ya Kibondemaji Mheshimiwa Abdallah Said Mtinika kuwa meya mpya wa Manispaa hiyo, akichukua nafasi ya mh.Abdallah Chaurembo ambaye kwa sasa ni Mbunge wa jimbo la Mbagala.

Akiongea baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi huo,mh.Mtinika alisema kuwa baraza lake la madiwani ambalo ataliongoza halitakuwa la mazoea na badala yake atafanya kazi kulingana na ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

"Nitahakikisha naifanya manispaa hii kuwa ya kisasa na yeyote ambaye anadhani kuwa kutokana na umbo langu kuwa dogo sitoweza kuifanya kazi hii atakuwa amekosea"Alisema Meya huyo.

Aidha katika uchaguzi huo pia diwani wa kata ya Kurasini Mheshimiwa Arnold Emmanuel Peter alichaguliwa kuwa Naibu meya wa Manispaa hiyo.

Awali akimkaribisha Meya huyo Mkurugenzi wa manispaa ya Temeke  Ndugu Lusubilo Mwakabibi, aliwaasa madiwani hao kuheshimu na kutekeleza maagizo kutoka kwa Mstahiki meya kwa kuwa ndiye aliyechaguliwa kwa wakati huo.

"Nataka niwaambie wakuu wangu wa Idara hii ni mamlaka kamili na tufanye kazi kwa ushirikiano na ili kuifanya manispaa yetu kusonga mbele" Alisema Mkurugenzi .

Baadhi ya waheshimiwa madiwani wakila kiapo cha maadili katika ukumbi wa mikutano Iddy Nyundo.


Jumla ya madiwani 35 walipiga kura kumchagua Mstahiki meya na Naibu meya na kabla ya hapo madiwani 23 kutoka kata za manispaa hiyo walikula kiapo cha utii kuanza majukumu yao ya udiwani.Manispaa ya temeke ina jumla ya kata 23 ambapo madiwani wakuchaguliwa jumla yao ni 23,madiwani wa viti maalum 8,wabunge wa kuchaguliwa 2 pamoja na wabunge viti maalum 3 ambao wanaunda Baraza hilo lenye jumla ya madiwani 36.

Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Katibu tawala mkoa wa Dar es salaam,katibu tawala wa manispaa ya Temeke pamoja Afisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU).

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke