• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

MANISPAA YA TEMEKE YAJIPANGA KUFANYA UTAFITI WA AINA YA VISAIDIZA NA VIDHIBITI JUU YA KUZALIWA KWA WATOTO WENYE UZITO PUNGUFU

Posted on: May 20th, 2025

Na: Joanita Joseph, TMC Habari


Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imekuwa ikitekeleza Mkataba wa lishe kwa kuangalia viashiria mbalimbali kwa ufasaha na kufikia Alama ya Kijani, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini yake Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya jitihada za Uboreshaji wa Miundombinu na Utoaji wa Huduma za Afya hapa Nchini. Hata hivyo pamoja na hayo yote lakini bado Kiashiria cha Watoto wanaozaliwa na Uzito pungufu kimekuwa changamoto katika Manispaa hii kwa kubaki na Alama nyekundu.


Hivyo basi kwa kuzingatia hilo Manispaa ya Temeke kupitia Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe imejipanga kufanya Utafiti juu ya Visababishi vinavyopelekea Wakinamama kujifungua Watoto wenye Uzito pungufu ndani ya Manispaa hii, na leo Mei 20, 2025 Timu ya Wataalam imekutana kujadiliana kwa pamoja jinsi ya kufanikisha Utafiti huo ikiwemo Mbinu na Namna Ukusanyaji wa Taarifa kwa kuzingatia Malengo ya Utafiti ili kupata Matokeo sahihi.


Bi. Happy Nkunda ambaye ni Mwanzilishi wa Utafiti huo (A Case - Control study) amesema


" Research hii ni yetu sote ikilenga kuchukua taarifa katika Vituo vya Afya kwa Wakinamama wanaojifungua watoto wenye uzito pungufu na kuja na mapendekezo sahihi yatakayosaidia kuandaa mikakati maalum ya Kitaifa juu ya uboreshaji wa Afya ya Mama na mtoto ili kupunguza au kuondokana kabisa na tatizo hili"


Wapelelezi Wakuu katika Utafiti huu (Principal Investigators) ni Dkt. Jonas Lulandala Mganga Mkuu wa Manispaa, Dkt. Philip Lambo Mtaalamu wa Epidemiologia, Dkt. Elias Bukundi Mhadhiri Msaidizi Chuo Kikuu cha Muhimbili na Bi. Happy Nkunda Afisa lishe Manispaa ya Temeke.


Miongoni mwa Vituo vitakavyotumika kukusanyia taarifa ni pamoja na Buza, Mbagala Rangi tatu, Mbagala Roundtable, Yombo Vituka, Maji Matitu na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • LIPA USHURU WA HUDUMA ZA HALMASHAURI June 21, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA VITUO VYA KUKUSANYAJI MAPATO WASHIRIKI HAFLA YA PAMOJA

    June 21, 2025
  • MANISPAA YA TEMEKE YAPASUA ANGA KIMATAIFA, SASA NI MARAFIKI NA JIJI LA YONGKANG-CHINA

    June 20, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TEMEKE LAACHA ALAMA,LAIDHINISHA MIRADI LUKUKI KUTEKELEZWA 2025/2026

    June 20, 2025
  • NAPA YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA KATA NA MITAA UTEKELEZAJI WA ANWANI ZA MAKAZI

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke