• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Temeke Municipal Council
Temeke Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii, na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Uhusiano na Teknolojia ya Habari
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki na wanyama pori
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Utoaji wa Leseni za biashara
    • Utoaji wa Leseni za vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa hati na leseni za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi (10%)
    • Upimaji wa ardhi
    • Usajili wa vikundi vya kijamii
    • Uandikishaji wa bima ya afya ya jamii (iCHF)
    • Utoaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo
    • Kulipia ushuru na tozo za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za wahesimiwa Madiwani
      • Kamati ya fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango miji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Siku ya kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Vipeperushi
    • Mpango Mkakati wa Manispaa
    • Sheria ndogo
    • Miongozo mbalimbali
    • Ripoti
  • Chanzo cha habari
    • Gazeti Mtandao
      • Toleo Mei 2,2021
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Nyaraka
    • Sheria Ndogo ya Ushuru wa Huduma
  • Mifumo

"TAMASHA HILI NI SHAMRA SHAMRA ZA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU" MHE. MWANAHAMISI

Posted on: May 22nd, 2023

Na: Sweetbetter Njige-TMC Habari

Mkuu wa wilaya ya Temeke mheshimiwa Mwanahamisi Munkunda Mei 22,2023 ameshiriki tamasha la "Kijana Janjaruka" lililofanyika katika viwanja vya Zakhem-Mbagala huku akitumia Jukwaa hilo kutoa hamasa kuhusu Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kukimbizwa wilayani humu siku ya Jumatano wiki hii.


Akizungumza katika tamasha hilo lenye lengo la kuwapa vijana fursa za kiuchumi,Mhe. Munkunda amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuwainua vijana kiuchumi kwa kuwapa fursa mbalimbali.


"Niwapongeze wadau wote waliojitokeza kutoa huduma mbalimbali na kutuunga mkono kutoa elimu kwa Watanzania, Temeke tunajivunia kushiriki tamasha hili, kwetu ni shamrashamra za utangulizi wa mapokezi ya mbio za Mwenge wa Uhuru lakini tamasha hili ni eneo sahihi kwa vijana kupata taarifa sahihi za huduma mbalimbali zinazotolewa na Serikali".Alisema Mkuu huyo wa wilaya.


Mhe. Munkunda amewataka vijana kuchangamkia fursa hizo zinazotolewa na wadau wanaoshiriki tamasha hilo hususani mikopo isiyo na riba kutoka kwa taasisi za kibenki zinazotambuliwa na Serikali ili kuongeza tija kwao,jamii na taifa kwa ujumla kwa kufanya kazi halali na kujiepusha na mikopo yenye lengo la kuwarudisha nyuma kimaendeleo


Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa wilaya ya Temeke amekabidhi majiko 50 ya gesi kutoka kampuni ya ORYX kwa Mamalishe na Babalishe hilo kama sehemu ya kutia moyo Wajasiriamali hao na kuhamasisha utunzaji wa mazingira kwa kutumia nishati mbadala.


Taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi zimejitokeza kushiriki katika Tamasha hilo na kutoa elimu kwa makundi mbalimbali yakiwemo ya vijana na wanawake juu ya kutumia fursa zilizopo katika kujikwamua kiuchumi.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA BAADA YA USAILI KWA AJILI YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE March 05, 2025
  • TANGAZO MUHIMU July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 19, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SHEREHE YA WALIMU YAFANA TEMEKE

    April 25, 2025
  • MEYA AZUNGUMZA MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • HAFLA YA UTOAJI MIKOPO, RC AKABIDHI HUNDI

    April 24, 2025
  • RC ANENA KATIKA HALFA YA UTOAJI MIKOPO YA 10%

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI 2025/2026
Picha jongefu za ziada

Kurasa za Karibu

  • YouTube
  • Vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Salary Slip Portal
  • Email za watumishi wa serikali TemekeMC (GMS)
  • National WASH Data Platform
  • Instagram
  • Facebook

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Taifa
  • TANEPS
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
  • Utumishi
  • Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Manispaa ya Temeke inapatikana mkabala na uwanja wa Taifa katika makutano ya barabara ya Mandela na Taifa.

    Anuani ya Posta: P.O.Box 46343 Dar-es-Salaam

    Simu ya Mezani: +255 22-2928132

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: temeke@temekemc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mtandao

Hatimiliki©2018. Halmashauri ya Manipaa ya Temeke